Friday, April 3, 2015
1:00 AM
| Posted by
Unknown
|

HATIMAYE tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC)imetanga rasmi kuhairisha kura maoni ya kupigia Katiba inayopendekezwa na Bunge maalum la Katiba ambayo ilitarajiwa kufanyika tarehe 30 Aprili mwaka huu mpaka pale watakapotangaza tarehe maalum.AnaandikaKAROLI VINSENT.endelea nayoKutokana na Tume hiyo kushindwa kumaliza kuwaandisha kwa wakati wananchi kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo mpya wa Biometric Voters Regislation,(BVR). nchi nzima kwa mwezi mmoja uliobaki.Akitangaza kuhairisha zoezi hilo mda huu jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi nchini Jaji Mstaafu Damiani Lubuva wakati wa Mkutano na vyombo vya Habari ambapo amesema tume hiyo imefikia maamuzi ya kuhairisha kura ya maoni kutokana na sababu zilizojitokeza kwenye uandikishaji Mkoani njombe.
“Kwa vile zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la mpiga kura halijakamilika,tume haitaweza kuendelea na zoezi la upigaji kura ya maoni,hivyo zoezi hilo lilitangaza awali la kura ya maoni
kufanyika tarehe 30 aprili limehairishwa hadi tarehe itakayotangazwa na NEC”amesema Jaji Lubuva
Jaji Lubuva ameongeza kuwa kutangazwa kwa tarehe husika kutategemea maushauriano na tume ya uchaguzi wa taifa ya Zanzibar (ZEC).
Aidha,Jaji huyo amesema kuwa kutokana na uhaba wa vifaa vya kuwaandikisha wananchi kuwa vichache tume hiyo imeshalipia vifaa vingine ambapo kwa mujibu wa jaji huyo amesema Shehena ya Vifaa vinatajiwa kuwasili kwa awamu tatu kwaanzia sasa.
“Kwa hali tulioishudia mkoani Njombe ambapo tulikuwa na mashine 250 kwa sasa tumeona kuagiza vifaa vingi ili tuweze kuwaandisha wananchi kwa haraka zaidi kwani vifaa vitakuja kwa awamu tano ambayo kwa sasa zinakuja mashine 268 baadae zitakuja mashine 1600 na ya mwisho 1600”ameendelea kusema Jaji Lubuva’
Jaji lubuva amebainisha kuwa vifaa hivyo vikija vyote zoezi zima la kuwaandisha wapiga kura litakamilika nchi nzima mwezi wa Julai.
Vilevile Jaji lubuva amesema kwa sasa serikali imeshalipa gharaza zote za mashine ambazo anasema zimagharimu Dolla milioni 72.
Kuhusu kuaomba mashine za BVR nje ya nchi.
Jaji lubuva amesema ni kweli tume hiyo ilikwenda nchi hizo na kuomba mashine hizo na kudai hilo ni jambo la kawaida kwani ni nchi rafiki.
Kuibuka huko kwa tume ya uchaguzi NEC inakuja ikiwa tayari wanasiasa mbalimbali wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Demokrasia maendeleo Chadema Freeman Mbowe kupinga zoezi hilo kwa mfumo wa BVR kusema ni vigumu kufanyika kwa wakati.
Subscribe to:
Post Comments
(Atom)
TOKOMEZA MAUAJI YA ALBINO

Find us on Facebook
Popular Posts
My Blog List
-
KURA ZA MAONI ZISITUGAWE - SAMINA - Wanawake wilayani Ubungo, wametakiwa kuungana mara baada ya kumalizika zoezi la uchaguzi wa ndani wa kura za maoni za udiwani viti maalum. Wito huo umetole...2 hours ago
-
Michezo : Mhandisi Hilly - Ushiriki wa watumishi katika Michezo ni chachu ya kujenga Mshikamano na Kuboresha Afya Zao - Na Oscar Assenga, TANGA USHIRIKI wa Watumishi katika michezo umetajwa kwamba ni njia nzuri ya kujenga amani na mshikamano ambao unaweza kuboresha afy...4 hours ago
-
Benki ya CRDB yatwaa Tuzo Tatu Kubwa za Euromoney Jijini London, Ikidhihirisha Miaka 30 ya Uongozi na Ubora - London / Dar es Salaam, 20 Julai 2025 – Benki ya CRDB imetangazwa kuwa Benki Bora Tanzania, Benki Bora kwa Masuala ya Mazingira, Jamii na Utawala Bora (E...6 hours ago
-
Benki ya CRDB yatwaa Tuzo Tatu Kubwa za Euromoney Jijini London, Ikidhihirisha Miaka 30 ya Uongozi na Ubora - London / Dar es Salaam, 20 Julai 2025 – Benki ya CRDB imetangazwa kuwa Benki Bora Tanzania, Benki Bora kwa Masuala ya Mazingira, Jamii na Utawala Bora (E...6 hours ago
-
Why are Japanese Cars so popular in the Arab World - Japanese cars have firmly established their presence in Arab markets, becoming a symbol of quality and reliability. The continued demand for these vehicl...3 days ago
-
DKT. KIKWETE: NCHI ZA AFRIKA ZINAHITAJI KUWEKEZA ZAIDI KATIKA TAFITI NA KILIMO - Na.Vero Ignatus ARUSHA Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Umasikini umefanyika Jijini Arusha kwa lengo la Kuwaunganisha wataalamu wa utafiti na watunga se...5 weeks ago
-
สมัคร wing888 VIP เว็บตรงคุณภาพสูง และบริการคุณภาพ - Wing888 vip เป็นหนึ่งในชื่อที่น่าสนใจโดยเฉพาะสำหรับผู้ที่ให้ความสำคัญกับความปลอดภัย เสถียรภาพ และระบบการให้บริการที่จริงจัง ความเป็นส่วนตัวและความซื่อสัตย...1 month ago
-
BENKI YA STANBIC YAFIKIA TAMATI KAMPENI YA TAP KIBINGWA KWA SHANGWE - • TZS milioni 7.5 zimetolewa kama zawadi kwa wateja 15 waliotumia Visa Debit Card zao kwa miezi mitatu • Washindi wengine watano wajishindia TZS 500...2 months ago
-
KIWANJA CHA NDEGE SUMBAWANGA CHAFIKIA ASILIMIA SITINI YA UJENZI. - Ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Sumbawanga umefikia asilimia sitini ya utekelezaji wake. Taarifa hiyo imetolewa mbele waandishi wa habari leo Machi 26, 20...3 months ago
-
Majina ya Blog Zinazoanzia na Herufi ya V - *1. VOA Sauti ya America * www.voaswahili.com *2. Vijimambo* lukemusicfactory.blogspot.com4 months ago
-
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025 - Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini ke...4 months ago
-
ZANZIBAR: UBALOZI WA NORWAY TANZANIA WAIPONGEZA TAMWA-ZNZ UTEKELEZAJI MRADI WA SWIL. - *Maafisa Ubalozi wa Norway wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa TAMWA-ZNZ mara baada ya kumaliza mazungumzo katika ofisi zilizopo Tu...3 years ago
-
AUDIO | Harmonize - Kushoto Kulia | Download - *DOWNLOAD* Listen to Harmonize - Kushoto Kulia byDJ Mwanga on hearthis.at5 years ago
-
-
Ufafanuzi wa TCRA kuhusu kuondoa chaneli za runinga zinazotazamwa bila kulipia (FTA) kutoka ving'amuzi vya Azam, Multichoice na Zuku - Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) imefafanua kuhusu kuondoa Channel za Televisheni za ndani zinazotazamwa bila kulipia (FTA) kutoka Ving’amuzi vya Azam, Multic...6 years ago
-
MSANII ROSE MUHANDO: SIOGOPI WANAONISEMA VIBAYA - Rose Muhando. STAA wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amefunguka kuwa, haogopi watu wanaomsema kwa ubaya kila kona bali anaangalia kile kilichomsababisha ku...8 years ago
-
VIDEO: SNURA AONGELEA KUFANYA KAZI NA DON JAZZY..! - Kila mtu alilipokea kwa style yake hili suala la mtayarishaji na msanii mkubwa wa muziki barani Afrika *Don Jazzy *kujirecord video akiimba wimbo wa Chura ...8 years ago
-
PIKIPIKI YAZUA HOFU BAADA YA KUTELEKEZWA MWAKA MZIMA JIJINI DAR ES SALAAM, UKIIKARIBIA, IKIIGUSA INAJIWASHA POLISI WAGWAYA KUIPELEKA KITUONI - Mwananchi akipita kwa kuikwepa pikipiki yenye namba za usajili T 684 CJZ aina ya Fokon iliyotelekezwa kwa zaidi ya mwaka mmoja katika Kituo cha waendesha...8 years ago
-
-
MATUKIO MBALI MBALI YA ZIARA YA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUPITIA CHADEMA KATIKA JIMBO LA HAI, MKOANI KILIMANJARO - *Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akipokelewa na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Hai ...9 years ago
-
Bunge Lamkingia Kifua Zitto Kabwe......Lasema Bado ni Mbunge Halali na Spika wa Bunge ana Mamlaka Kisheria Ya Kutengua Maamuzi ya CHADEMA - Ofisi ya Bunge imesema haijapata barua yoyote kuhusu kuvuliwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema). Kauli ya hiyo ya Bunge im...10 years ago
-
MAPACHA 6 WALIOZALIWA MWAKA 1983 NCHINI UINGEREZA SASA NI WAKUBWA NA WAMENZA KUWA NA FAMILIA ZAO - * Bwana Na Bibi Grahan Walton wakiwa na mabinti wao sita pamoja na mjukuu wao* * Mapacha hao wa kike wakati wana miaka mitano (Kushoto kwenda kilia) Luci...10 years ago
-
New Song WAKAZI-BIGGIE - Download Here - *Wimbo mpya kutoka kwa Wakazi - Biggie* www.aloyson.com10 years ago
-
-
-
-
-
-
-
-
0 comments:
Post a Comment