Sunday, May 18, 2014
8:31 PM
| Posted by
Unknown
|
Mmoja wa washiriki katika mbio za Vaisakhi rally 2014 akionesha umahiri wa kupita vikwazo katika njia iliyotumika kwa ajili ya mashindano hayo. |
Team Viduku wakitafakari baada ya gari lao la mashindano kupata hitilafu wakati wakiwa katika mzunguko wa pili wa mashindano ya Vaisakhi rally 2014. |
Wananchi wa mjini Moshi, waliojitokeza kushangilia magari katika eneo la Mabogini katika mbio za mwaka huu za magari za Vaisakhi |
Moja ya magari yaliyoshiriki mashindano ya mwaka huu ya Vaisakhi Rally, yaliyofanyika jana mjini Moshi. |
Gari aina ya Mitsubishi linaloendeshwa na Dereva mkongwe, Gerrad Miller likikatiza kona katika eneo la Newland. |
Gurjit Dhani akichana mbuga katika eneo la Newland. |
Gurjit Dhani |
Gari namba 32, linaloendeshwa na Dereva Amarjeet Dhillon wa Arusha akichanja mbuga katika mashindano ya mwaka huu ya Vaisakhi Rally. |
Mshindi wa kwanza wa mashindano ya Vaisakhi Rally mwaka huu, Gurjit Dhani (kushoto) na Msaidizi wake Shameer Yusuf wakishangilia ubingwa wao. katikati ni Afisa michezo wa mkoa wa Kilimanjaro, Anthony Ishumi. |
Mshindi wa kwanza wa mashindano ya Vaisakhi Rally mwaka huu, Gurjit Dhani (kushoto) akimpa zawadi ya ushindi Baba yake Mzazi, Mzee Dhani wa Charang Singh, Kulia ni Msaidizi wake Shameer Yusuf. |
Washindi wa nafasi ya tatu hadi ya kwanza katika mashindano ya mwaka huu ya Vaisakhi Rally. Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi. |
Subscribe to:
Post Comments
(Atom)
TOKOMEZA MAUAJI YA ALBINO

Find us on Facebook
Popular Posts
Widget by Making Different
My Blog List
-
KAFULILA AWAKOSHA WASOMI CHUO KIKUU AKIELEZA UMUHIMU WA PPP KUELEKEA TANZANIA YA 2050 - *Asisitiza nafasi ya kuwa na rasilimali watu wenye Maarifa kufikia lengo *Achambua hoja za wasomi akieleza nafasi ya PPP katika kutekeleza miradi Na Said M...6 hours ago
-
KAFULILA AWAKOSHA WASOMI CHUO KIKUU AKIELEZA UMUHIMU WA PPP KUELEKEA TANZANIA YA 2050 - *Asisitiza nafasi ya kuwa na rasilimali watu wenye Maarifa kufikia lengo *Achambua hoja za wasomi akieleza nafasi ya PPP katika kutekeleza miradi Na Said M...6 hours ago
-
Ajenda ya kidigitali yashika kasi nchini kupitia Future Ready Summit na Innovation Week 2025 - Safiri Smart! Wataalamu kutoka sekta ya usafiri wakichambua njia za kufungua fursa za kidigitali nchini Tanzania kupitia ubunifu, sera thabiti na ushirik...9 hours ago
-
BE FORWARD’s 21st Anniversary $20,000,000 Giveaway 2025 - Be Forward is giving away $20,000,000 worth of prizes!Everyone who enters will automatically receive $20 BF Points!Plus, fifty-one (51) lucky winners wil...1 day ago
-
สมัคร wing888 VIP เว็บตรงคุณภาพสูง และบริการคุณภาพ - Wing888 vip เป็นหนึ่งในชื่อที่น่าสนใจโดยเฉพาะสำหรับผู้ที่ให้ความสำคัญกับความปลอดภัย เสถียรภาพ และระบบการให้บริการที่จริงจัง ความเป็นส่วนตัวและความซื่อสัตย...6 days ago
-
Habari : Wenye vyeti feki vya Uandishi wa Habari Waonywa - Na Mwandishi Wetu, JAB. Wakati Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) ikiufungua rasmi mfumo wa usajili wa Waandishi wa Habari wa https://taiha...1 week ago
-
Dkt. Mpango Azindua Shule ya Sekondari ya Mfano ya Benki ya CRDB, Benki Hiyo Ikitimiza Miaka 30 - Arusha 16 Mei 2025 - Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango, amezindua rasmi Shule ya Sekondari ya Mfano ya Benk...1 week ago
-
BENKI YA STANBIC YAFIKIA TAMATI KAMPENI YA TAP KIBINGWA KWA SHANGWE - • TZS milioni 7.5 zimetolewa kama zawadi kwa wateja 15 waliotumia Visa Debit Card zao kwa miezi mitatu • Washindi wengine watano wajishindia TZS 500...5 weeks ago
-
KIWANJA CHA NDEGE SUMBAWANGA CHAFIKIA ASILIMIA SITINI YA UJENZI. - Ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Sumbawanga umefikia asilimia sitini ya utekelezaji wake. Taarifa hiyo imetolewa mbele waandishi wa habari leo Machi 26, 20...2 months ago
-
Majina ya Blog Zinazoanzia na Herufi ya V - *1. VOA Sauti ya America * www.voaswahili.com *2. Vijimambo* lukemusicfactory.blogspot.com2 months ago
-
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025 - Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini ke...2 months ago
-
ZANZIBAR: UBALOZI WA NORWAY TANZANIA WAIPONGEZA TAMWA-ZNZ UTEKELEZAJI MRADI WA SWIL. - *Maafisa Ubalozi wa Norway wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa TAMWA-ZNZ mara baada ya kumaliza mazungumzo katika ofisi zilizopo Tu...2 years ago
-
AUDIO | Harmonize - Kushoto Kulia | Download - *DOWNLOAD* Listen to Harmonize - Kushoto Kulia byDJ Mwanga on hearthis.at5 years ago
-
-
Ufafanuzi wa TCRA kuhusu kuondoa chaneli za runinga zinazotazamwa bila kulipia (FTA) kutoka ving'amuzi vya Azam, Multichoice na Zuku - Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) imefafanua kuhusu kuondoa Channel za Televisheni za ndani zinazotazamwa bila kulipia (FTA) kutoka Ving’amuzi vya Azam, Multic...6 years ago
-
MSANII ROSE MUHANDO: SIOGOPI WANAONISEMA VIBAYA - Rose Muhando. STAA wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amefunguka kuwa, haogopi watu wanaomsema kwa ubaya kila kona bali anaangalia kile kilichomsababisha ku...7 years ago
-
VIDEO: SNURA AONGELEA KUFANYA KAZI NA DON JAZZY..! - Kila mtu alilipokea kwa style yake hili suala la mtayarishaji na msanii mkubwa wa muziki barani Afrika *Don Jazzy *kujirecord video akiimba wimbo wa Chura ...8 years ago
-
PIKIPIKI YAZUA HOFU BAADA YA KUTELEKEZWA MWAKA MZIMA JIJINI DAR ES SALAAM, UKIIKARIBIA, IKIIGUSA INAJIWASHA POLISI WAGWAYA KUIPELEKA KITUONI - Mwananchi akipita kwa kuikwepa pikipiki yenye namba za usajili T 684 CJZ aina ya Fokon iliyotelekezwa kwa zaidi ya mwaka mmoja katika Kituo cha waendesha...8 years ago
-
-
MATUKIO MBALI MBALI YA ZIARA YA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUPITIA CHADEMA KATIKA JIMBO LA HAI, MKOANI KILIMANJARO - *Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akipokelewa na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Hai ...9 years ago
-
Bunge Lamkingia Kifua Zitto Kabwe......Lasema Bado ni Mbunge Halali na Spika wa Bunge ana Mamlaka Kisheria Ya Kutengua Maamuzi ya CHADEMA - Ofisi ya Bunge imesema haijapata barua yoyote kuhusu kuvuliwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema). Kauli ya hiyo ya Bunge im...10 years ago
-
MAPACHA 6 WALIOZALIWA MWAKA 1983 NCHINI UINGEREZA SASA NI WAKUBWA NA WAMENZA KUWA NA FAMILIA ZAO - * Bwana Na Bibi Grahan Walton wakiwa na mabinti wao sita pamoja na mjukuu wao* * Mapacha hao wa kike wakati wana miaka mitano (Kushoto kwenda kilia) Luci...10 years ago
-
New Song WAKAZI-BIGGIE - Download Here - *Wimbo mpya kutoka kwa Wakazi - Biggie* www.aloyson.com10 years ago
-
-
-
-
-
-
-
-
Total Pageviews
26354
0 comments:
Post a Comment