Friday, March 13, 2015

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa mara baada ya kuwasili Monduli tayari kwa ziara ya siku moja jimboni humo.


Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na Mbunge wa Jimbo laMonduli,Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa mara baada ya kuwasili Monduli tayari kwa ziara ya siku moja jimboni humo.


Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokea salaam kutoka kwa Chipukizi wa CCM wakati wa mapokezi Makuyuni, Monduli Arusha.


Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na viongozi na wananchi wa Monduli.

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

TOKOMEZA MAUAJI YA ALBINO

TOKOMEZA MAUAJI YA ALBINO

Find us on Facebook

Popular Posts

My Blog List

Total Pageviews

Tweets

NETWORKED BLOGS

Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
widgets