Friday, March 13, 2015
9:57 PM
| Posted by
Unknown
|

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi Mteule wa Japan Nchini Tanzania, Mhe. mashiro Yoshida kwenye Hoteli ya New Otani jijini Tokyo Machi 13, 2015 ambako Machi 14, 2015 anatarajiwa kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Mkutano Kuhusu namna ya kukabiana na maafa utakaofanyika Sendai.
Mke wa Waziri Mkuu, mama Tunu Pinda (kushoto) akizungumza ujumbe kutoka Shirika lisilokuwa la kiserikali la Women’s Federation for World Peace la Umoja wa Mataifa (WFWP) kwenye hoteli ya New Otani jijini Tokyo Mchi 13, 2015 ambako amefuatana Mheshimiwa Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Jakaya Kiwete kwenye mkutano kuhusu namna ya kushughulikia maafa unaotarajiwa kufanyika Sendai Machi 14, 2015. Kutoka kushoto ni Chieko Sasamoto na Yoko Shima

Mke wa Waziri Mkuu, mama Tunu Pinda (kushoto) akizungumza ujumbe kutoka Shirika lisilokuwa la kiserikali la Women’s Federation for WOrld Peace la Umoja wa Mataifa (WFWP) kwenye hoteli ya New Otani jijini Tokyo Mchi 13, 2015 ambako amefuatana Mheshimiwa Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Jakaya Kiwete kwenye mkutano kuhusu namna ya kushughulikia maafa unaotarajiwa kufanyika Sendai Machi 14, 2015. Kutoka kushoto ni Chieko Sasamoto, Yoko Shima na Mutsako Setomoto.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Balozi Mteule wa Japan Nchini Tanzania, Mhe. Masahiro Yoshida kwenye Hoteli ya New Otani jijini Tokyo Machi 13, 2015 ambako Machi 14, 2015 anatarajiwa kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Mkutano Kuhusu namna ya kukabiliana na maafa utakaofanyika Sendai.

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akiwa katika picha ya pamoja ujumbe kutoka Shirika lisilokuwa la kiserikali la Women’s Federation for World Peace la Umoja wa Mataifa (WFWP) kwenye hoteli ya New Otani jijini Tokyo Mchi 13, 2015 ambako amefuatana na Mheshimiwa Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Jakaya Kiwete kwenye mkutano kuhusu namna ya kushughulikia maafa unaotarajiwa kufanyika Sendai Machi 14, 2015. Kutoka kushoto ni Mutsako Setomoto, Chieko Sasamoto, Yoko Shima na Kazunori Arase.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na na Balozi Mteule wa Japan Nchini Tanzania, Mhe. Masahiro Yoshida (kushoto) kwenye Hoteli ya New Otani jijini Tokyo Machi 13, 2015 ambako Machi 14, 2015 anatarajiwa kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Mkutano Kuhusu namna ya kukabiliana na maafa utakaofanyika Sendai. Watatu kushoto ni mkewe Tunu , Wanne kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Zanzibar, Mohamed Abood Mohamed na Kulia ni Naibu Waziri wa mambo ya Nje, Dr. Mahadh Maalim.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments
(Atom)
TOKOMEZA MAUAJI YA ALBINO

Find us on Facebook
Popular Posts
My Blog List
-
Naibu Waziri Londo Aishukuru Uswisi kwa kuboresha Maendeleo ya Jamii nchini - Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Mhe. Dennis Londo (Mb.), ameishukuru Se...7 minutes ago
-
MRADI WA SEQUIP KUONGEZA KIWANGO CHA UFAULU MKOANI SINGIDA-RC DENDEGO - Wananchi wametakiwa kushirikiana na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kulimda miundombinu ya shule iliyojengwa ili...50 minutes ago
-
Loyalty Pays Yakupa Tsh 10,000,000 Kila Ijumaa Kutoka Meridianbet - KWENYE ulimwengu wa kasino mtandaoni, kila mchezaji anatafuta kitu kimoja zaidi ya ushindi wa bahati, anatafuta kuthaminiwa. Na sasa, Meridianbet imea...1 hour ago
-
Teknolojia : JAB Yakabidhi Press Card kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Michuzi Media Group - ●Waandishi Wengine Watakiwa Kuhakiki Viambatisho Katika Mfumo Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandis...1 day ago
-
RC Kihongosi Asikiliza na Kutatua Kero za Wamiliki na Wafanyakazi wa Saluni, Jijini Arusha. - [image: WhatsApp%20Image%202025-07-23%20at%2007.58.16] [image: WhatsApp%20Image%202025-07-23%20at%2007.58.14] [image: WhatsApp%20Image%202025-07-23%20at%20...2 days ago
-
Why are Japanese Cars so popular in the Arab World - Japanese cars have firmly established their presence in Arab markets, becoming a symbol of quality and reliability. The continued demand for these vehicl...1 week ago
-
สมัคร wing888 VIP เว็บตรงคุณภาพสูง และบริการคุณภาพ - Wing888 vip เป็นหนึ่งในชื่อที่น่าสนใจโดยเฉพาะสำหรับผู้ที่ให้ความสำคัญกับความปลอดภัย เสถียรภาพ และระบบการให้บริการที่จริงจัง ความเป็นส่วนตัวและความซื่อสัตย...2 months ago
-
BENKI YA STANBIC YAFIKIA TAMATI KAMPENI YA TAP KIBINGWA KWA SHANGWE - • TZS milioni 7.5 zimetolewa kama zawadi kwa wateja 15 waliotumia Visa Debit Card zao kwa miezi mitatu • Washindi wengine watano wajishindia TZS 500...3 months ago
-
KIWANJA CHA NDEGE SUMBAWANGA CHAFIKIA ASILIMIA SITINI YA UJENZI. - Ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Sumbawanga umefikia asilimia sitini ya utekelezaji wake. Taarifa hiyo imetolewa mbele waandishi wa habari leo Machi 26, 20...3 months ago
-
Majina ya Blog Zinazoanzia na Herufi ya V - *1. VOA Sauti ya America * www.voaswahili.com *2. Vijimambo* lukemusicfactory.blogspot.com4 months ago
-
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025 - Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini ke...4 months ago
-
ZANZIBAR: UBALOZI WA NORWAY TANZANIA WAIPONGEZA TAMWA-ZNZ UTEKELEZAJI MRADI WA SWIL. - *Maafisa Ubalozi wa Norway wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa TAMWA-ZNZ mara baada ya kumaliza mazungumzo katika ofisi zilizopo Tu...3 years ago
-
AUDIO | Harmonize - Kushoto Kulia | Download - *DOWNLOAD* Listen to Harmonize - Kushoto Kulia byDJ Mwanga on hearthis.at5 years ago
-
-
Ufafanuzi wa TCRA kuhusu kuondoa chaneli za runinga zinazotazamwa bila kulipia (FTA) kutoka ving'amuzi vya Azam, Multichoice na Zuku - Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) imefafanua kuhusu kuondoa Channel za Televisheni za ndani zinazotazamwa bila kulipia (FTA) kutoka Ving’amuzi vya Azam, Multic...6 years ago
-
MSANII ROSE MUHANDO: SIOGOPI WANAONISEMA VIBAYA - Rose Muhando. STAA wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amefunguka kuwa, haogopi watu wanaomsema kwa ubaya kila kona bali anaangalia kile kilichomsababisha ku...8 years ago
-
VIDEO: SNURA AONGELEA KUFANYA KAZI NA DON JAZZY..! - Kila mtu alilipokea kwa style yake hili suala la mtayarishaji na msanii mkubwa wa muziki barani Afrika *Don Jazzy *kujirecord video akiimba wimbo wa Chura ...8 years ago
-
PIKIPIKI YAZUA HOFU BAADA YA KUTELEKEZWA MWAKA MZIMA JIJINI DAR ES SALAAM, UKIIKARIBIA, IKIIGUSA INAJIWASHA POLISI WAGWAYA KUIPELEKA KITUONI - Mwananchi akipita kwa kuikwepa pikipiki yenye namba za usajili T 684 CJZ aina ya Fokon iliyotelekezwa kwa zaidi ya mwaka mmoja katika Kituo cha waendesha...8 years ago
-
-
MATUKIO MBALI MBALI YA ZIARA YA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUPITIA CHADEMA KATIKA JIMBO LA HAI, MKOANI KILIMANJARO - *Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akipokelewa na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Hai ...9 years ago
-
Bunge Lamkingia Kifua Zitto Kabwe......Lasema Bado ni Mbunge Halali na Spika wa Bunge ana Mamlaka Kisheria Ya Kutengua Maamuzi ya CHADEMA - Ofisi ya Bunge imesema haijapata barua yoyote kuhusu kuvuliwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema). Kauli ya hiyo ya Bunge im...10 years ago
-
MAPACHA 6 WALIOZALIWA MWAKA 1983 NCHINI UINGEREZA SASA NI WAKUBWA NA WAMENZA KUWA NA FAMILIA ZAO - * Bwana Na Bibi Grahan Walton wakiwa na mabinti wao sita pamoja na mjukuu wao* * Mapacha hao wa kike wakati wana miaka mitano (Kushoto kwenda kilia) Luci...10 years ago
-
New Song WAKAZI-BIGGIE - Download Here - *Wimbo mpya kutoka kwa Wakazi - Biggie* www.aloyson.com10 years ago
-
-
-
-
-
-
-
-
0 comments:
Post a Comment